Usiku wa February 28 kundi la Navy Kenzo ambalo kwa sasa lina miliki air time ya vituo vingi vya Tv nje na ndani ya Tanzania kwa ngoma yao mpya ya “Kamatia Chini”, wamefanya uzinduzi rasmi wa Kamatia Chini Lights UP Tour ndani ya Maisha Basement. Mtu wangu wa nguvu hizi ni Pichaz 22 ya kilivyo happen katika uzinduzi huo.
Asante sana kwa kutembelea
Website hii coz ni moja ya Support kwetu mungu akubariki sana pia endelea
kusoma na kufungua LEBAL zingine kwani kuna vingi vizuri zaidi ndani ya Website
hii bila kusahau kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki zako kutembelea website
hii
Pia waweza kuwasilina nasi
au kutufollow hapa chini
Karibu sana
LINK
CLASSIC
No comments:
Post a Comment